maisha na saikolojia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    Nimekata tamaa sana, nimefanya makosa yanayopelekea nikose furaha

    Niko lonely sana, nahitaji ushauri wa jamii. Sina msaada kabisa, sina washauri hasa kisaikolojia Kuna makosa mengi sana nimekosea yamepelekea nikose furaha ya maisha kabisa.
  2. Kwamacho

    Mahusiano ya familia yangu yananiharibu kisaikolojia

    Ndugu zangu, napenda kushiriki hali yangu na ninaomba ushauri wenu. Nimekuwa nikilelewa na bibi yangu tangu nikiwa na umri wa miaka 2 na sasa nina miaka 24 na wazazi wangu wote wapo hai mpaka sasa. Sijawahi kuonana na baba yangu kabisa ingawaje kwa sasa tunawasiliana katika simu, Mama yangu...
Back
Top Bottom