Gwala kwa wana Jf.
Niteremke hapa kwenye ngazi taratibu na kuingia kwenye mada.
Makuzi ya miaka ya sasa imepelekea kupatikana kizazi cha hovyo kweli! Watoto kutojua wanapaswa kuongea vipi na watu mbalimbali, mfano watu wazima, waliowazidi vyeo, na mengine mengi. Yaani mtoto anaongea na mtu...
Kwa nini unaogopa kujaribu? Nini shida Kijana? Jaribu kufanya Chochote kizuri kitakachokusaidia wewe. Usitegemee mtu.
Maisha ya sasa hivi ni wewe mwenyewe na wala usimlaumu mtu.
Kama umekosea kitu. Anza upya usiogope.
Kama una kipaji cha kusuka anza kusuka. Kama una kipaji cha kuimba imba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.