Gwala kwa wana Jf.
Niteremke hapa kwenye ngazi taratibu na kuingia kwenye mada.
Makuzi ya miaka ya sasa imepelekea kupatikana kizazi cha hovyo kweli! Watoto kutojua wanapaswa kuongea vipi na watu mbalimbali, mfano watu wazima, waliowazidi vyeo, na mengine mengi. Yaani mtoto anaongea na mtu...