Wadau wa JF, heshima mbele!
Tunapita mitaani, tunaona nyuso zenye tabasamu, lakini mioyo mizito kama kokoto. Tanzania ni uwanja wa mapambano, na kila mtu ana njia yake ya kujikwamua. Wapo wanaotembea kwenye kamba nyembamba ya maisha, huku chini kukiwa na shimo refu la shida. Wapo wanaosafiri...
Maisha ya binadamu huwa hayana maana kama kumbukumbu za furaha zitazidiwa na kumbukumbu za huzuni, ili kupata furaha kuna njia nyingi sana mojawapo ni kutoka nje ya eneo ulilolizoea.
Karibuni wakuu kushare locations kali mnazopenda kwenda kupunguza misongo ya mawazo au kupata happy moments na...
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa kwamba ile Taasisi inayotoa huduma bora za afya imeamua kusitisha huduma zake nchini Tanzania kutokana na anguko la biashara na uchumi.
Tuendelee kutega sikio kwa taarifa zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.