Katia safari ya maendeleo kama binadamu tumefanya mengi ya kustaajabu, kuanzia kuvumbua vifaa vya mawasiliano vya masafa ya mbali mpaka roketi lakini hamna cha msingi tulichofanya zaidi ya maboresho ya sayansi ya matibabu na afya
Wanasema kabla ya mageuzi ya matibabu wastani wa kuishi dunia...
Habari wadau!
Naandika habari hii kwa kuona kwamba kuna Sumu hatari sana kwenye maisha au jamii ya sasa zikiuzwa peupe bila mkono wa serikali kuingilia kati.
Watu wengi wamekuwa wakijtoa uhai kwa sumu mbalimbali mitaani kwetu na wengine wamekuwa wakinunua hizi sumu na kuweka ndani kwa kujua au...
Moja ya mtihani hatari katika maisha ya binadamu ni kufaulu KUOA / KUOLEWA na mtu sahihi. Ukifeli hapa hutaichukia hata elimu yako hata kama ni PHD. Unaweza chukia hata kwanini hupo duniani.
Wengi wamejaribu kufanya masahihisho ya mtihani huu ila wanahangukia pua. Bado amani ya moyo inakuwa...
Ebana wanajamvi inakuwaje?
Maisha ya binadamu yapo kwenye msingi wa vitu vitatu.
Kula, Kunya na Kujamiana
Na vyote hivi vitatu vinawezeshwa kikamilifu na pesa.
Tutafuteni pesa asee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.