maisha ya instagram

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Wanasiasa na Wakurugenzi hamtumii mitandao ya kijamii ndo maana Gen Z wanaishia kuwaona kina Gigi Money na Baba Levo kama Role Models wao

    Wakuu, Juzi umeme ulikuwa umekatika kwangu, ikabidi niende kwa jirani yangu kupoteza muda kidogo nikisubiri umeme urudi. Jirani yangu (anaelekea utu uzima) ana watoto 3. Mmoja yuko nursery na hao wengine wawili wapo shule ya msingi. Wakati nimekaa pale nikawa napiga story mbili tatu na wale...
Back
Top Bottom