maisha ya kifahari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mshana Jr

    Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

    Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni.. Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake Utajiri una level zake Utajiri ngazi ya...
  2. M

    Chadema acheni maisha ya kifahari chama bado ni Maskini sana

    Chadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama; 1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano. 2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa. 3: Kipngozi mkuu kuomba michango watanzania ili anunue gari ya anasa 4:Viongozi wa chama kukesho mitandaoni...
  3. Mjanja M1

    Usioe Mwanamke ambae kwao ni maskini lakini anaishi maisha ya kifahari

    Nakuonya ewe kijana, kamwe usioe Mwanamke ambae kwao ni maskini na hana kazi yoyote lakini anaishi maisha ya kifahari na matanuzi. Wengi wao ni wauza Mbususu wa kimya kimya. MLIOAMUA KUOA CHUKUENI DARASA HILO KUTOKA KWA MJANJA M1. Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Vienna Austria 🇦🇹
  4. Aigle

    Kati ya haya makundi mawili, ni nani anakula maisha ya kifahari na kitajiri?

    Kwa sasa chukulia makundi haya mawili, kundi la kwanza ukiwaweka watu wa aina ya Kitenge, Mwijaku, Baba Levo na mwanasiasa mmoja, na kundi la pili ukawaweka wasomi wenye digirii na ambao hawajibia mitihani au kununua vyeti watatu tena wenye HIGH CLASS za vyuo vikuu nchini. Je, kundi gani kati...
Back
Top Bottom