Wacha nikwambie ukweli na ninakuomba usome even if it pains
Imagine upo kwenye jiji kwa miaka 7 bila kwenda kijijini kwenu
unachomiliki ni simu refurbished imejaa memes za Kasongo
Sehemu unayoishi umepanga
hujaoa - umekuwa play boy sugu
Huna mtoto na kama yupo hajulikani kwenu
Huna Nyumba wala...
watoto wa mjini wanahitaji malezi serious sana vinginevyo ni hasara tupu mbeleni
nakua disappointed sana kuona blunders za uswahililini hasa kwa dar
kwa hawa watoto wakike ni ama wasome waje kua na kazi za maana
au waolewe na wanaume wanajielewe vinginevyo wapo kwenye risk ya kua hasara ...
Kama wewe ni mwenzangu na Mimi tunaopambana anagalao tufike sehemu nzuri, kuna ile unawatazama waliofanikiwa na mbilinge zao za maisha unaishia kusema hakika utajiri ni Ngumu.
Just see few Case studies
- Mtu ana mabasi 7 isitoshe amechukua mkopo mrefu benki, marejesho kila mwezi bahati mbaya...
Miaka mitatu ilopita nilikua vijijini nilishangaa kuona watu wamewekeza sana mjini wengine wana nyumba huku mjini halaf kule kijijini pesa wanaingiza kutoka mashambani yani mazao.
Kabla sijaanza harakati zangu namimi nikahamia mjini gafla, Leo nimewaza kua sijui nirudie tena japo hata kwa...
Asilimia kubwa nimekulia kijijini, elimu yangu primary, Olevel, A.level zote nimesoma vijijini.
Kidogo chuo nikabadili mazingira ya mjini lakini napo ilikuwa nje ya mji.
Kwahiyo mambo mengi ya kimjinimjini sijawai kuyajua kwakifupi mambo ya mjini mi mshamba.
Kuna issue moja imenishangaza/...
Anaandika, Robért Heriel
Mtibeli
Ni fahari kuzaliwa mjini na kuwa mtu wa mjini kama una yale yanayopatikana mjini.
Mfano, mjini kuna karibu huduma zote za kijamii mathalani shule, vyuo, na miundombinu yote muhimu ya wewe kuipata elimu.
Sasa itashangaza umezaliwa mjini, umekulia mjini, halafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.