Asilimia kubwa nimekulia kijijini, elimu yangu primary, Olevel, A.level zote nimesoma vijijini.
Kidogo chuo nikabadili mazingira ya mjini lakini napo ilikuwa nje ya mji.
Kwahiyo mambo mengi ya kimjinimjini sijawai kuyajua kwakifupi mambo ya mjini mi mshamba.
Kuna issue moja imenishangaza/...