Kwamba unaweza kumwambia mtu kuwa unampenda bila kuhofia kuwa utakataliwa, yaani hauwazi kabisa cha muhimu kwako unampenda mtu huyo,yaan haijalishi kama yeye atakupenda bali cha msingi ni wewe kumpenda yeye.
Kitu kingine unawakubali watu jinsi walivyo, haijalishi wana mapungufu gani, haijalishi...