maisha ya wahitimu wa chuo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. VINICIOUS JR

    Ukiwa muhitimu hapa Bongo na hauna mchongo wa kukup hela, au connection hamna rangi utaacha kuiona mtaani

    Kwema wakuu. Kama mada inavojieleza hapo juu, kuna kijana mmoja ambae ni graduate wa chuo x hapa bongo wa mwaka 2022, mwezi wa saba alifika kwa dada ake akitokea kijiji x (sio dada wa damu yan wa kushare tumbo au baba hapana, ni ile undugu wa kuunga unga) jamaa alidai amepitia kumsalimia dada...
  2. God Fearing Person

    Mimi ni graduate ila siwezi kuendesha bodaboda wala kufanya kazi yoyoye kisa tu hela

    Huo ndio ukweli I can't become a bodaboda rider Hizi ndo sababu zangu - Hii kazi Ina risk Sana haina kiinua mgongo chochote ni Kazi inayopigiwa chapuo na wanasia Ila watoto wao hawawezi kuifanya Mimi ntaendelea kuwa mtazamaji wa mambo Ila I can't go broke I'm hustler and smart ...
  3. M

    Inaumiza sana kusoma chuo kikuu na kupata degree ila haitumiki kukubadilishia maisha, umri unaenda na maisha yako yanazidi kuwa magumu

    Nimeona hii interview ya huyu muhitimu inatrend mitandaoni imeniumiza sana kwa kweli Hujafa hujaumbika! Kijana Noel Swai, mkazi wa Bunju A jijini Dar es Salaam amekuwa mtu wa kutoa machozi kila siku kutokana na maisha magumu anayoyapitia baada ya kupata ajali mbaya ya bodaboda, miaka sita...
Back
Top Bottom