maisha ya wasanii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ukwaju_wa_ kitambo

    Maisha ya wasanii nje ya sanaa

    MAISHA YA WASANII NJE YA SANAA Unaweza kusema sanaa bila ubunifu ni sawa sifuri, maisha ya usanii yanahitaji bunifu zenye athari chanya kwa jamii kwa lengo la kuendelea kukuza majina na kazi zao kwa ujumla. Katika kutafuta athari hizo hupelekea baadhi ya wasanii kujitengenezea utofauti katika...
  2. Ezra cypher

    Mama wa Rayvany anauza mbogamboga na Mama wa Martha anauza Juice. Maisha ya wasanii ni magumu sana

    Wasanii wa Tz ukiachana na showoff zao, Ila kiufupi wana maisha magumu Sana . Mama wa Rayvanny yupo mbeya sokoni anauza Mboga za majani za reja reja. Na mama yake Martha anaokota machupa na kuuza juice. This industry is all about shit.
  3. G

    Ni kitu gani kinafichwa sana kwenye maisha ya wasanii wa bongo unachoamini kwa asilimia 100 kipo?

    Kwa mtazamo wangu hivi ni vitu navyoamini vinawekwa siri lakini vipo. Kala Pina alikuwa anamgwaya Dudu baya Mr Nice hakufulia kabisa, Bado pesa anazo si haba za kustaafia muziki Nusu ya wasanii wanavuta weed Wasanii wengi wa bongo wanaishi kwa pesa za mishe nyingine, ni wachache sana...
  4. Hance Mtanashati

    Tunda na Ndaro hawaendani hata kidogo, Tunda hajui thamani yake

    Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro. Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo. Kwangu mimi, hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo Ila tusemeni tu ukweli, Tunda hajui thamani ya uzuri...
Back
Top Bottom