Kuna mambo mengine yanachekesha sana na kutafakarisha sana imagine mjini kuna vijwe vya wavuta bangi lukuki tena karibia kila mtaa na vina fahamika. Ajabu ni kwamba kuna baadhi ya police wanaishi maeneo hayohayo wanapita wanaona na hawajari.
Kuna mahali tulipita na jamaa tukakuta shina la bangi...
Ukitazama wavuta bangi wanavyopendana Ndo binadamu wote wangeishi hivyo.
NB: Mimi sisapoti bangi Ila nimetoa experience yangu kuhusu wavuta bangi kuwa na upendo Asilia.
Ni wavuta bangi wachache kuwakuta wapo na negativity
I guess Weed ni therapy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.