NZI
Licha ya kuonywa na wazee,Chuwa aliziba masikio.
Akaendelea kutumia fedha za mabeberu ili kuendesha kampeni zake.
Baada ya kushinda uchaguzi na kuingia madarakani,mabeberu wakataka rejesho,
rejesho hilo lilikuwa ni kumsainisha Chuwa mikataba mibovu ili wabebe mali za kijiji.
Kadri mali za...