MAGEUZI MAKUBWA KWENYE SGR.
Wananchi wamefarijika kwa kiasi kikubwa sana ambapo treni hii ya kisasa inakwenda kurahisisha Usafiri kutoka Dar-Morogoro- Dodoma.
Hakika Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan amefanikisha kwa kiasi kikubwa sana.
#Kaziiendelee
Hii ndio kauli ya serikali iliyotolewa leo , na kwamba mambo hayo mawili yamesababisha kuchelewa kukamilika kwa matengenezo ya vichwa vya Treni hiyo .
Chanzo: Swahili Time
Toa Maoni yako ukizingatia kwamba huko mwanzo walituambia hivi
=======
Serikali imesema majaribio ya SGR (Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.