MAGEUZI MAKUBWA KWENYE SGR.
Wananchi wamefarijika kwa kiasi kikubwa sana ambapo treni hii ya kisasa inakwenda kurahisisha Usafiri kutoka Dar-Morogoro- Dodoma.
Hakika Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan amefanikisha kwa kiasi kikubwa sana.
#Kaziiendelee
Hii ndio kauli ya serikali iliyotolewa leo , na kwamba mambo hayo mawili yamesababisha kuchelewa kukamilika kwa matengenezo ya vichwa vya Treni hiyo .
Chanzo: Swahili Time
Toa Maoni yako ukizingatia kwamba huko mwanzo walituambia hivi
=======
Serikali imesema majaribio ya SGR (Dar es...