Kurogwa ni shambulio la kiroho kwa kutumia nguvu za giza, waweza kujilinda kwa njia kadhaa ikiwemo ya uhakika ulinzi wa Mwenyezi Mungu,
Vita ya Mababii na mitume dhidi ya shetani ilikuwa ya kiroho, Shetani hupendelea zaidi kutumia majaribu ya kuingiza tamaa na nguvu za giza kuroga...