Sintofahamu ya ununuzi wa majenereta katika Kampuni ya Uendeshaji na Uendelezwaji wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KADCO), imetatuliwa baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro kusimamisha ulipaji wa malipo ya jenereta.
Kadco iliagiza...
Mwaka jana (2022) kulikuwa na tatizo kubwa la umeme nchini ambapo mgao wa umeme ulishamiri. Baadhi yetu tulijua kwamba tatizo hilo lilitokana na ukame mkubwa uliokuwa umeikumba nchi yetu.
Lakini wakati huo huo kulikuwa na wazandiki waliokuwa wakisema kuwa umeme unazimwa kwa makusudi ili...
Ukipita Kariakoo, husikii kelele za watu tena bali Majenereta ambayo kila duka linalo.
Mengi ni madogo madogo, kila moja na mlio wake.
Maduka ya kuuza majenereta nayo yamepandisha bei za jenereta hizo.
Jenereta zilizokuwa stoo zimeitiwa mafundi
Tanesco mwatuweza
Sent from my M2006C3LG using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.