majeneza ya mbao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ndege JOHN

    Kwanini jeneza lazima litengenezwe kwa material ya mbao?

    Nini kipo behind mbao maana hata Yesu stori yake ya kufa ilibidi msalaba uwe ni wa mbao hata baba yake wa kufikia alikuwa seremala fani ya kuchonga miti. Hata Yuda na ye alijinyonga mtini. Hata Abeli alibarikiwa alikuwa mkulima ana deal na miti mazao ama vegetables. Jeneza lazima tu liwe...
Back
Top Bottom