KUMBUKUMBU YA MWANAMUZIKI SALUM ABDALLAH:
Tarehe 18 Novemba mwaka huu ilikuwa ni siku ya Kumbukumbu ya Miaka 55 ya kifo cha mwanamuziki na kiongozi wa Cuban Marimba band ya Morogoro Salum Yazidu Abdallah aliyefariki kwa majeraha ya ajali ya gari mnamo Novemba 18, mwaka 1965
KIFO CHAKE...