majeruhi ajali ya ndege

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Ndege ya Delta Yapata Ajali Toronto, Watu 15 Wajeruhiwa

    Watu 15 akiwemo Mtoto, wamejeruhiwa huku baadhi yao wakiwaishwa Hospitali kutokana na majeraha waliyoyapata baada ya Ndege ya Delta ya Nchini Marekani kupata ajali leo kwa kubinuka juu chini kwenye njia ya kurukia Ndege baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Toronto Nchini Canada...
  2. Teslarati

    Marekani: Ndege iliobeba raia 64 imegongana hewani na helicopter ya kijeshi na kusababisha vifo kadhaa

    Zaidi ya watu kumi na wanne waliuawa baada ya ndege ya mikoa ya American Airlines yenye abiria 64 kugongana na helikopta ya kijeshi ya Black Hawk dakika chache kabla ya ndege hiyo kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ronald Reagan wa Washington D.C. mnamo jioni ya Jumatano, kama...
Back
Top Bottom