Watu 15 akiwemo Mtoto, wamejeruhiwa huku baadhi yao wakiwaishwa Hospitali kutokana na majeraha waliyoyapata baada ya Ndege ya Delta ya Nchini Marekani kupata ajali leo kwa kubinuka juu chini kwenye njia ya kurukia Ndege baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Toronto Nchini Canada...
Zaidi ya watu kumi na wanne waliuawa baada ya ndege ya mikoa ya American Airlines yenye abiria 64 kugongana na helikopta ya kijeshi ya Black Hawk dakika chache kabla ya ndege hiyo kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ronald Reagan wa Washington D.C. mnamo jioni ya Jumatano, kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.