majeruhi man utd

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    ‘Mzimu’ wa majeruhi warejea Man Utd, wawili waumia, ni Hojlund na Leny Yoro

    Straika Rasmus Hojlund na beki aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 52, Leny Yoro wamepata majeraha wakati Timu yao ya Manchester United ikipoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya Arsenal kwa magoli 2-1, Los Angeles. Licha ya kuwa haijajulikana ukubwa wa majeraha lakini hiyo ni tahadhari kwa Kocha wa...
  2. JanguKamaJangu

    Man United kufanya uchunguzi wachezaji wao kuumia mara kwa mara, baada ya Martinez na Lindelof kuumia

    Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag amesema wanatarajia kufanya uchunguzi wa ndani kubaini sababu za wachezaji wake kuumia mara kwa mara ikiwa ni siku chache baada ya Lisandro Martinez na Victor Lindelof kupata majeraha. Walinzi hao wanatarajiwa kuwa nje kwa mwezi mmoja, Martinez akipata...
Back
Top Bottom