Kwa nini Marekani inaendelea kuwa na vituo vya kijeshi katika nchi za bara la Africa?
Hivi vituo vya jeshi la Marekani vilivyoko Africa nchi za Kenya, Djibouti, Ghana, Cameroon, Senegal, Seychelles na Gabon kupambana na ugaidi vina tofauti gani na misaada ya USAID?
Itakuwa undumilakwili...