maji arusha

  1. The Watchman

    Pre GE2025 NIRC wasaini mkataba wa bilioni 17 ukarabati skimu za umwagiliaji bonde la mto wa Mbu Arusha

    SERIKALI ya Awamu ya Sita ,kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini Mkataba Wa kukarabati skimu zilizopo katika bonde la Mto wa Mbu Wilayani Monduli, kwa gharama ya shilingi bilioni 17. Mradi huo unajumuisha ukarabati wa mifereji yenye urefu wa jumla ya Mita 37,484.71, sawa na...
  2. Thomas Odera

    KERO Uhaba wa maji jijini Arusha

    Kuna tatizo la maji katika jiji la Arusha eneo la Njiro tangu jana mchana mpaka leo. Sijui kama ni kwa eneo ambalo nafanyia kazi au na maeneo mengi ya jiji. Hebu mamlaka husika ilifanyie kazi. cc Wizara ya Maji
  3. K

    KERO Arusha: Wanawake takriban 200 waandamana na ndoo mpaka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakidai "Hatuna maji miaka 10"

    Mama achana na machawa fanya kazi https://youtu.be/nNphQMdV-XU?si=r54NUretG0H5LM2d
  4. Hossam

    KERO Makonda ingilia kati tatizo la maji Kiseriani, yanatoka mara moja kwa wiki tena usiku

    Mheshimiwa mkuu wa mkoa, sisi wakazi wa Kiseriani hasa maeneo ya Kilimani tuliungiwa maji mwezi wa tatu mwaka huu. Ajabu maji yanatoka mara moja kwa wiki tena usiku. Hatuelewi kisa cha kuungiwa maji na kuendelea kuteseka. Tunaomba ingilia kati tupate huduma hii kama wakazi wengine wa maeneo...
Back
Top Bottom