Wakazi wa mwanza, wilaya ya nyamagana kata ya Buhongwa maji yamekuwa ni changamoto sana, tuna wiki ya pili hatuna maji na kila mara hii hali hujirudia rudia.
Tushalifikisha mpaka kwa mwenyekiti lakini jambo limekuwa kizungumkuti.
Hii changamoto utatatuliwa lini?
Pia soma
KERO - Tatizo sugu...
Anonymous
Thread
majinyamagana
shida ya maji mwanza
usugu wa maji buhongwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.