Media ya Tanzania haisaidii jamii kazi yake kubwa ni uchawa tu!
Yaani huku Tegeta maji yana matope kabisa lakini hakuna hata media moja inajadi badala yake wanajali Msigwa na upuuzi mwingine tu wa kichawa. 🙉
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.