majibizano ya risasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Kigogo CHADEMA awalipua Polisi, ni kuhusu tuhuma za kuua

    Ukurasa wa mbele wa Gazeti la Raia Mwema, Jumanne Septemba 27, 2022.
  2. Roving Journalist

    Video yaonesha kabla ya kifo cha mwandishi wa habari Abu Akleh hakukuwa na majibizano ya risasi

    Video mpya imesambaa ikionesha hakukuwa na mashambuliano yoyoye wakati mwandishi wa habari Abu Akleh anauawa kwa risasi, kama ilivyoelezwa awali kuwa aliuawa wakati wa mashambulizi baina ya pande mbili Video hiyo inamuonesha mwanahabari huyo wa Al Jazeera akiwa katika hali ya utulivu na wenzake...
  3. Jembe Jembe

    ARUSHA: Wafanyabiashara maarufu waliofyatuliana risasi wapanda kizimbani

    Mahakama ya hakimu Mkazi Arusha imewasomea maelezo ya awali washtakiwa Philemon Mollel(Monaban)63,ambaye ni mfanyabiashara maarufu jijini Arusha na mwenzake Baraka Taitas Mollel(43)wanaokabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya Silaha. Akisoma maelezo hayo Leo mbele ya hakimu wa mahakama...
  4. GAZETI

    Mtwara: Mapambano ya Polisi na Jambazi mwenye silaha; Raia ameuwawa, askari amepigwa risasi

    Wakuu jioni hii hapa Newala(Mtwara) limetokea tukio la Jambazi mwenye silaha kuvamia kituo cha mafuta Kiduni na kupora fedha. Wakati anaondoka eneo la tukio kaua Raia mmoja, hata hivyo wananchi wenye hasira walimfuatilia jambazi huyu ambaye alishindwa kutoroka baada ya mtu mwenye pikipiki ambaye...
Back
Top Bottom