SWALI: Nafikiri kuna kama matatizo mawili yanayoikabili Afrika, na hilo ni pengo kati ya mfumo wa kisiasa wa taifa la kisasa na kiwango cha hali ya juu cha ustadi wa kiteknolojia na kiuchumi kinachohitajika katika kutengeneza taifa. Na nafikiri watu wanapozungumzia uhuru kuja haraka sana...