Barabara ya External kwenda Majichumvi eneo la Migombani (Majichumvi) inayopita OBAMA BAR kuanzia Ofisi ya Serikali ya Mtaa Mianzini kutokezea njia Panda ya Bonyokwa na Segerea inatutesa sana.
Mkandarasi alifunga njia kipindi chote cha mvua, tumeteseka vya kutosha maana diversion aliyotuelekeza...
Anonymous
Thread
barabara
barabara mbovu
barabara ya majichumvimajichumvimigombani
miundombinu ya barabara
mkandarasi ubungo external
serikali
uwajibikaji
uwajibikaji serikali