Navyomjua mwalimu wangu kwa mudaa huu anakaa sana sebuleni kuangalia michezo ya kuigiza na kuwauliza watoto wake. Hapa yupi ni Bamboo? Yupi ni Kingwenduh?
Rayvanny ni yupi kati ya hawa? Lwiza Mbutuh? Ahoua yupo Simba au Yanga? Uwanja wa footaball jumla wanaocheza ndani ni wangapi?
Kisha hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.