majungu kazini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Asilimia kubwa ya majanga maofisini wanasababishwa na madereva wa maboss na ma secretary

    Unaweza kuona kama nafasi hizo ni nafasi ndogo na hazina nafasi katika maamuzi ya mambo mengi ila amini usiamini makazini kwingi sekta za Umma na Sekta binafsi fitina na majungu chanzo chake ni uvujishaji wa siri pindi usengenyaji unapofanywa aidha na maboss kwenye gari. Mada nyingi wao ndiyo...
  2. Hii changamoto ya majungu kwenye ajira mnapambana nayo vipi wenzangu?

    Habari wana jukwaa? 1.Unaamka asubuhi na stress unajiuliza leo itakuaje tena nini kitatokea huko? 2.Kuna wale wanajua kujipendekeza kwa boss na kujifanya wanainformation zote jinsi shughuli za kiofisi zinavyokwenda(Machawa). 3. Kuna wale wana vijikundi vyao vya masengenyo, hao ukitoka tu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…