makabila ya tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Makabila gani wasimamizi wa familia ni wanawake

    Habari wana JF Nahitaji kujua ni makabila gani tanzania ambayo wasimamizi wa mambo yote na waratibu wa majukumu ya familia ni wanawake. (yaani ni makabila ambayo baba ni yupo kama picha ya mlinzi na mtoaji mahitaji ya familia na anahusika tu pale majukumu makubwa yanayohitaji maamuzi yametokea...
  2. Uzi maalum wa Kujifunza Lugha za Makabila ya Tanzania: Comment Jinsi mnavyosalimia na chochote tafsiri kwa kiswahili

    Kiswahili kikikuzidi sana unaweza ukawa "Kiongozi wa Kitaifa" ila lugha ya Asili ni muhimu sana.. Kama mgeni ukisafiri utahitaji mahitaji mbalimbali ikiwamo Lodge, Manunuzi ya Vitus, na Kujitambulisha kwa wenyeji ikiwamo Mwenyekiti wa KIJIJI, Balozi wa Nyumba Kumi ili ufahamike,, Sasa pitia...
  3. Nawezaje kumtambua binti wa kitanga?

    Msaada tutani wakuu. Nawezaje kujua kama huyu ndiye au siye? Je wana alama yoyote kama wamakonde au? Naomba niachwe kwanza nisihojiwe kwa sasa nipo kwenye uchunguzi maalum. Tafadhali vijana wa hovyo msinambie nikamwulize mwakinyo.🤣
  4. Je, unajua kwamba karibu na Ziwa Eyasi nchini Tanzania, kuna kabila la kale la watu takriban 1,000 ambao ndio wawindaji wa mwisho waliosalia nchini?

    Je, unajua kwamba karibu na Ziwa Eyasi nchini Tanzania, kuna kabila la kale la watu takriban 1,000 ambao ndio wawindaji wa mwisho waliosalia nchini? Wahadzabe wameishi maisha mengi kama walivyoishi kwa maelfu ya miaka, wakitegemea ujuzi wao wa kina wa asili na desturi za jadi kuishi. Licha ya...
  5. S

    Methali ya mtegemea Cha nduguye hufa maskini sio kweli Kwa wachaga, wakinga, Wahindi, Wapemba na Waarabu ni kwa makabila mengine tu

    Kuna methali ya uongo ya ooh mtegemea cha nduguye hufa maskini Methali ya mtegemea cha nduguye hufa maskini sio kweli Kwa wachaga,wakinga,Wahindi,wapemba na waarabu ni Kwa makabila mengine tu Kama wandengereko, Wakwere, Wazaramo, Wamakonde, Wasambaa, Waha, Wafipa, Wapare, Wagogo na Wakojani...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…