Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillius Wambura amefanya mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa mikoa ili kuboresha na kuongeza ufanisi wa utendaji katika mikoa mitatu ya Tanzania Bara.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Januari 6, 2023 na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David...
Kwa saaa speed ya kupangua Ma-RPC inatisha sana haipiti mwezi wanapanguliwa na hapa tulipo huenda huu mwaka hautaisha utasikia tena pangua pangua.
Huyu Wambula kazidi sasa make haipiti mwezi hajapangua.
Yaani realocation ya ma-RPC ndio mwisho wa mageuzi wanayoimba daily.
Hawa wanakwepa kudili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.