makamanda wa polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    IGP Wambura afanya mabadiliko mengine ya Makamanda wa Polisi

    Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillius Wambura amefanya mabadiliko ya Makamanda wa Polisi wa mikoa ili kuboresha na kuongeza ufanisi wa utendaji katika mikoa mitatu ya Tanzania Bara. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Januari 6, 2023 na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David...
  2. MURUSI

    Watapangua sana ma-RPC ila hakutabadili tabia za Jeshi la Polisi

    Kwa saaa speed ya kupangua Ma-RPC inatisha sana haipiti mwezi wanapanguliwa na hapa tulipo huenda huu mwaka hautaisha utasikia tena pangua pangua. Huyu Wambula kazidi sasa make haipiti mwezi hajapangua. Yaani realocation ya ma-RPC ndio mwisho wa mageuzi wanayoimba daily. Hawa wanakwepa kudili...
Back
Top Bottom