Kweli wapiga dili hawataisha nchi hii, hadi Chadema wapo sana. Kuna genge fulani la makamanda wa Chadema ambao walijipachika jina la wanyeviti wa mikoa wa Chadema na kufika nyumbani kwa Mbowe ili kumuomba agombee uenyekiti wa Chadema.
Baada ya muda karibu wote wamepotea na kutokomea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.