Kweli wapiga dili hawataisha nchi hii, hadi Chadema wapo sana. Kuna genge fulani la makamanda wa Chadema ambao walijipachika jina la wanyeviti wa mikoa wa Chadema na kufika nyumbani kwa Mbowe ili kumuomba agombee uenyekiti wa Chadema.
Baada ya muda karibu wote wamepotea na kutokomea...