Naombea iwe ndoto tu tena ya mchana isiyokuwa na uhalisia wowote
Ndoto hii naikemea kwa nguvu zote, maana! Mmh! Iwapo itakuwa kweli mbona itakuwa mwisho wa nchi hii kuwa na matumaini yoyote ya walala hoi siku moja kuondokana na ulala hoi wao..!
Ndoto niliyoletewa iko hivi..!
2025! Makamu wa...