Ilisemwa mambo ya Samia hayataenda asipokuwa na hao wawili. Ajabu leo hii mambo ya Samia yapo muswano.
Ilisemwa na kudaiwa jamaa hao wasioridhika na kukubaliana na hali halisi eti wangeuteteresha Utawala wa mama huyo endapo tu wangefutwa kazi jambo ambalo hadi wakati huu mwanamama huyo...