Makampuni ya kubeti yanatuma meseji hadi imeshakuwa kero sasa.
Mtu hata haujajisajili huduma yao yoyote lakini unashangaa unatumiwa mameseji tele ya mfululizo tena kila siku.
Lakini cha kujiuliza ni je wanawezaje kupata namba ya simu ya mtu mmojammoja?
Hapa jibu lenye mantiki ni moja tu...