makamu wa rais malawi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Papaa Mobimba

    Mchekeshaji Dkt. Michael Usi aapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Malawi kufuatia kifo cha Saulos Chilima

    Dkt. Michael Usi ameapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Malawi katika hafla iliyofanyika katika Bunge la nchi hiyo mjini Lilongwe. Mchekeshaji huyo aliyebadilika kuwa mwanasiasa anachukua nafasi ya Saulos Chilima, ambaye alifariki katika ajali ya ndege mapema mwezi huu. Dkt. Usi ameahidi kuheshimu...
  2. peno hasegawa

    Kupunguza gharama ninashauri Mkuu wa Mkoa Ruvuma amwakilishe Rais kwenye mazishi ya Makamu wa Rais Malawi

    Siku za karibuni, tutasikia Makamu wa Rais wa Malawi atazikwa. Ukizingatia mkoa waRuvuma umepakana na nchi ya Malawi,ninashauri Mkuu wa huo mkoa amwakilisge Rais kwenye mazishi hayo ili kupunguza gharama. Ni mawaxo yangu, ila safari za nje zinatuumiza sisi wanyonge.
Back
Top Bottom