Wakuu,
Hawa CWT si tawi la CCM? Imekuaje tena wanalalamikia chama chao kwenye majukwaa?
========================
Makamu Wa Rais Chama Cha Walimu Tanzania ( CWT ) Ndugu Suleiman Mathew Ikomba
Aneyasema Hayo Mapema Leo Wakati Wa Ufunguzi Wa Kliniki Ya Walimu Na Samia Hai Kilimanjaro Yenye Lengo...