makamu wa rais wa marekani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Rais Samia ampokea Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Ikulu Dar es Salaam leo Machi 30, 2023

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpokea Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Ikulu Dar es salaam leo Machi 30, 2023 Rais Samia ameishukuru Serikali ya Marekani kupitia misaada na uwezekaji wa aina mbalimbali unaofanyika nchini. Serikali ya Tanzania...
  2. M

    Kwanini Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris anafanya ziara yake nchini Tanzania?

    Leo Taifa la Tanzania litampokea Makamu wa Rais wa Marekani Bi Kamala Harris ambaye atafanya ziara ya siku tatu nchini ikiwa na lengo la kuimarisha Mahusiano baina ya Tanzania na Marekani. Yapo masuala mbalimbali yaliyochagiza ujio wa Bi Kamala nchini Tanzania ikiwemo: 1: Kuimarika kwa...
  3. ChoiceVariable

    Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Kumpokea Kamala Harris leo 29 Machi, 2023

    Naona Itifaki imezingatiwa. VP Kwa VP. MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango leo anatarajiwa kumpokea Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) mkoani Dar es Salaam. Serikali kupitia kwa Msemaji wake mkuu, Gerson Msigwa imemkaribisha...
Back
Top Bottom