kitalembwa aliombaa hii
Kwanza muandae kuku wako au samaki vizuri mimi nilipata kuku wa kisasa nika mkata nusu kama hivi
Kwanza nilimuwekea viungo
Food color
Tangawizi ya kusagwa na chumvi
Nimamuacha kama lisaa hivi ili viungo vikolee nikaendelea na mambo mengine
Baada ya kulizika na mda na...
Unakwenda hotelini unaagiza labda makange nyama unaambiwa eti 15000 wakati pale nyama labda nusu tu na makange yenyewe hakuna cha ziada zaidi tu yamekaangiwa karoti hoho nyanya yaani viungo ambavyo havizidi hata 2000.
Je, hiyo hela nyingine inapanda kwq sababu gani je ni kwa sababu ya jina tu...
Watu wengi wanapenda ulaji wa kuku waliopikwa kwa staili hii pasi na kujua asili yake.
Mzee Robert Makange (1928-1999)
Mzee huyu wengi hawamfahamu ila wanafahamu chakula chake alichokiasisi kilichopewa jina la Makange. Mzee Makange alikiasisi chakula hicho katika Bar yake ya Tropicana Club...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.