makange

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Makange ya kuku

    kitalembwa aliombaa hii Kwanza muandae kuku wako au samaki vizuri mimi nilipata kuku wa kisasa nika mkata nusu kama hivi Kwanza nilimuwekea viungo Food color Tangawizi ya kusagwa na chumvi Nimamuacha kama lisaa hivi ili viungo vikolee nikaendelea na mambo mengine Baada ya kulizika na mda na...
  2. Mbona kama makange yanauzwa bei sana ambayo hailingani na thamani yake

    Unakwenda hotelini unaagiza labda makange nyama unaambiwa eti 15000 wakati pale nyama labda nusu tu na makange yenyewe hakuna cha ziada zaidi tu yamekaangiwa karoti hoho nyanya yaani viungo ambavyo havizidi hata 2000. Je, hiyo hela nyingine inapanda kwq sababu gani je ni kwa sababu ya jina tu...
  3. Je, unamfahamu muasisi wa chakula cha "Makange"? Mfahamu Mzee Robert Makange

    Watu wengi wanapenda ulaji wa kuku waliopikwa kwa staili hii pasi na kujua asili yake. Mzee Robert Makange (1928-1999) Mzee huyu wengi hawamfahamu ila wanafahamu chakula chake alichokiasisi kilichopewa jina la Makange. Mzee Makange alikiasisi chakula hicho katika Bar yake ya Tropicana Club...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…