makengeza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chiembe

    Hivi kwa nini matege na makengeza yanapatikana sana kwa wakazi wa Afrika? Sijaona kwa wazungu

    Hili nimekuwa nikijiuliza sana, wadau, kuna mwenye ufahamu?
  2. February Makamba

    Msaada tutani: Nimejisababishia makengeza

    Sikuile naangalia UEFA akaja jamaa na kibaraghashia… Sasa pale kwenye kibandaumiza kulikuwa na TV mbili zote zinaonesha mechi moja ila zinatofautiana quality na rangi. Moja ilikuwa imepauka nyasi zinaonekana kama za njano na nyingine ilikuwa kama imekoza sana yani nyasi zinaonekana Dark green...
  3. Melki Wamatukio

    SI KWELI Mtoto mchanga ukimtazamisha kwenye kioo au Mwanga wa jua kabla ya siku 40 hupata Makengeza

    Kwa muda mrefu sasa yamekuwepo madai yanayosema kuwa Mtoto mchanga ukimtazamisha kwenye kioo au Mwanga wa jua kabla ya siku 40 hupata Makengeza. Naomba kufahamu ukweli kuhusu jambo hili.
Back
Top Bottom