makengeza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hivi kwa nini matege na makengeza yanapatikana sana kwa wakazi wa Afrika? Sijaona kwa wazungu

    Hili nimekuwa nikijiuliza sana, wadau, kuna mwenye ufahamu?
  2. Msaada tutani: Nimejisababishia makengeza

    Sikuile naangalia UEFA akaja jamaa na kibaraghashia… Sasa pale kwenye kibandaumiza kulikuwa na TV mbili zote zinaonesha mechi moja ila zinatofautiana quality na rangi. Moja ilikuwa imepauka nyasi zinaonekana kama za njano na nyingine ilikuwa kama imekoza sana yani nyasi zinaonekana Dark green...
  3. SI KWELI Mtoto mchanga ukimtazamisha kwenye kioo au Mwanga wa jua kabla ya siku 40 hupata Makengeza

    Kwa muda mrefu sasa yamekuwepo madai yanayosema kuwa Mtoto mchanga ukimtazamisha kwenye kioo au Mwanga wa jua kabla ya siku 40 hupata Makengeza. Naomba kufahamu ukweli kuhusu jambo hili.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…