makka

Mecca, also spelled Makkah, is a city in the Hejazi region of Saudi Arabia. The city is located 70 km (43 mi) inland from Jeddah, in a narrow valley 277 m (909 ft) above sea level and 340 kilometres (210 mi) south of Medina. Its population in 2012 was 2 million, although visitors more than triple this number every year during the Ḥajj ("Pilgrimage"), held in the twelfth Muslim lunar month of Dhūl-Ḥijjah.
It is the birthplace of Muhammad. A cave 3 km (2 mi) from Mecca was the site of Muhammad's first revelation of the Quran, and a pilgrimage to it, known as the Hajj, is obligatory for all able Muslims. Mecca is home to the Kaaba, one of Islam's holiest sites and the direction of Muslim prayer, and thus Mecca is regarded as the holiest city in Islam.Mecca was long ruled by Muhammad's descendants, the sharifs, acting either as independent rulers or as vassals to larger polities. It was conquered by Ibn Saud in 1925; since then Mecca has seen a tremendous expansion in size and infrastructure, such as the Abraj Al Bait, also known as the Makkah Royal Clock Tower Hotel, the world's fourth tallest building and the building with the third largest amount of floor area, and lost some historical structures and archaeological sites, such as the Ajyad Fortress. Non-Muslims are prohibited from entering the city.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Hizi Hapa sababu za Baba mzazi wa Mohammedi Mchengerwa kuzikwa Makka alikofia

    Ndugu zangu Watanzania, Nimepata na kupokea Maswali Mengi sana kutoka kwa watu mbalimbali mitaani kuniuliza juu ya sababu ya Mzee Omary Mchengerwa Baba Mzazi wa Mheshimiwa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa Kuzikwa Makka ambako ndiko alikofia. Nimeulizwa maswali haya siyo...
  2. L

    TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

    Ndugu zangu watanzania, Nawaleteeni taarifa ya majonzi na masikitiko makubwa sana juu ya kifo cha Baba mzazi wa Waziri wetu wa TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ambaye Amefiwa na Baba yake Mzazi mzee Omary Mchengerwa akiwa katika ibada huko Makka. Ambapo taarifa inasema ya kuwa atazikwa...
  3. Pre GE2025 Mgombea Uenyekiti BAZECHA aahidi kuwapeleka wajumbe Makka

    Wakuu Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema (Bazecha), John Mwambigija maarufu ‘Mzee wa upako’ akiomba kura kwa wajumbe huku miongoni mwa sera yake ni kuwapeleka wajumbe wa baraza hilo kuhiji Makka. Uchaguzi huo unaendelea usiku huu Jumanne Januari 14, 2025 katika ukumbi wa...
  4. C

    Waziri Mohamed Mchengerwa Waziri wa TAMISEMI, aenda kuhiji Makkah

    Baada ya yote aliyoyafanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na sasa yuko Makka. Kama kuna Muumba kweli kabisa anakubaliana na hizi dhihaka nafikiria kuwa mpagani ===== 📍Makkah 🕌🕋🤲🏾 Anaandika Mhe, Mohamed Mchengerwa . Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za...
  5. M

    Muislamu anayefariki Hijja

    Endapo ukifa Makka au madina katika Hija huwa minafaizina Aya ambazo zinaelezea neema za peponi kwa waumini: Surat Al-Waqi'ah (Sura ya 56), Aya 22-24: "Na wao watakuwa juu ya mito inayotiririka, na matunda ya wao watakavyo kuwa wakiyapenda. Na nyama ya ndege watakapo kuwa wakiyataka. Na wenye...
  6. Uislamu ulifika Afrika na kukubalika vyema kabla ya mji wa Makka (Saudia)

    Katika mwezi Mei 614 CE, Muhammad (s.a.w) aliwashauri idadi fulani ya wanafunzi wake wa kwanza, waliokuwa wakikabiliwa na mateso kutoka kwa wakaaji washirikina wa Mji wa Makka (Saudia), kutafuta kimbilio ng'ambo ya Bahari Nyekundu huko Axum. Katika utamaduni wa Kiislamu, tukio hili...
  7. Jumaa Kareem, Ijumaa ni siku ya furaha kwa Waislamu wote, Hakikisha leo unafika Msikitini

    Mtume Muhammad (s.a.w) anatujulisha mambo mawili muhimu yanayofanya siku ya ijumaa iwe bora miongoni mwa siku za juma. Kwanza ni kwamba, hii siku ya Ijumaa ndiyo aliyoumbwa Adamu. Pili ni kwamba siku hii ya ijumaa, baada ya Adamu kumkosea Mwenyezi Mungu aliomba msamaha na toba yake ikapokelewa...
  8. Nataka kwenda Makka kumpiga mawe Shetani!

    Mada hii si ya uchokozi wa kidini, la hasha. Ni la kutaka kueleweshwa tu. Kwa mantiki ya Hijja, mwisho wake sala hiyo ni kuzunguka lile jiwe la K'aaba. Halafu baada ya hapo kuna kulipiga jiwe na mawe kwa imani ya kumpiga mawe shetani. Hapo ndipo mimi nataka kwenda ,kumsulubu shetani kwa mawe...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…