makolo

  1. SAYVILLE

    Ukistaajabu ya Musa. Mashabiki wa Yanga wakana kuwa Simba siyo Makolo

    Wanasema tii sheria bila shuruti. Kutokana na tuhuma zinazomkabili msemaji wa Yanga Ali Kamwe, mashabiki wengi wa Yanga wamejitokeza kumtetea huku utetezi mkubwa ukiwa eti hakuna timu ligi kuu inayoitwa Kolo au Makolo. Tukumbuke Simba imeimbwa hadi katika nyimbo za Yanga kama Kolo au Makolo...
  2. Jackal

    Tujikumbushe Miaka Hiyo Makolo Walipokuwa Kwenye Relegation Ponapona Yao Waliokolewa Na Mwananchi

    Hii ndiyo Ile tukawambiaga mtani alitaka kushuka daraja kama mnakumbuka 😂😂😂😂😂 Follow #CRIX ORG 🙏🙏
  3. Southern Highland

    Makolo mnalia nini kutoa sare na wakati nyie wenyewe mlisema mnajenga timu

    Maendeleo yoyote yana gharama zake na kilichotokea leo ndio matokeo ya maendeleo hayo. Sasa nawasihi muendelee kushikamana swala la ubingwa muliweke pembeni nyie endeleeni na project yenu. NAtabiri maneno yatakayoanza sasa -GSM ana dhamini timu nyingi -Bahasha zinatembea (zitatembea mpaka tar...
  4. Waufukweni

    Haji Manara: Makolo hawatotufunga hadi 2030, Samia atoke Madarakani

    Mashaki wa Mnyama, Simba mmemsikia msemaji wenu wa zamani?, Haji Manara akiwa Wasafi Fm amesema Makolo hawatotufunga hadi 2030, Samia atoke Madarakani "Naomba Watu waelewe Ule wimbo wa 'Yanga inafungwaje' haujaimbwa kwaajili ya Tabora au Timu nyengine ule umeimbwa kwaajili ya 'Makolo' kwahiyo...
Back
Top Bottom