Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Tanganyika huru. Nilikuwa mapumziko ya likizo ndefu nimerejea tena jukwaani na hii ndio mada yangu ya kwanza.
Kwa sheria na kanuni za Kazi duniani kote kila mfanyakazi anastahili mapumziko ya likizo ya mwezi mmoja katika miezi 12 ya mwaka.
Hili ni takwa la...
Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
"Kufuatia uvumi...