makonda vs ndugulile

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Ndugulile atangaza rasmi kutokugombea tena ubunge mwaka 2025! Je, Makonda atarudi kugombea ubunge Kigamboni?

    Wanabodi, Mbunge wa jimbo la Kigamboni, Faustine Ndugulile ametangaza rasmi kuwa hatagombea ubunge mwaka 2025. Ndugulile amedokeza kuwa kwa sasa yupo mbioni kuanza majukumu yake kama Director wa WHO na atakuwa anawakilisha Waafrika zaidi ya Bilioni 1 kwenye nyanja za kimataifa. Soma pia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…