makonda yupo likizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Usiku wa deni hauchelewi. Likizo ya RC Makonda inakaribia ukingoni

    Tarehe 26 Julai baada ya kauli hii na ile za kimtandao kumhusu RC Makonda mmoja wa Wasaidizi wake alitoka hadharani na kuweka wazi kuwa RC yuko likizo ya kawaida. Likizo hii ya kawaida kwa mujibu wa miongozo ya kiutumishi ni wiki 4 tu. Sasa tukipiga hesabu kuanzia tarehe ambazo alianza...
  2. Erythrocyte

    Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

    Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana! Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini? Taarifa kamili hii hapa "Kufuatia uvumi...
Back
Top Bottom